Diamond Platnumz – Natulizana Lyrics
Changanya tende na maziwa
Havifikii utamu wako
Wanipe embe au juice ya miwa
Mie ntakunywa tu wewe hapo
Unyagoni ulipochezwa
Hivi somo yako nani
Maana unayo ninogeza
Kwangu ni mageni yani
Namaliza vingereza
Mara ooh i’m coming
Mengine siwezi kueleza
Maana haya hadharani
Halafu sipendi
Unavyo nispoil sana
Vigift gift
Mwenzio unanchanganya
Eti nakosa mimi
Unaniomba wewe msamaha
Huko kunipenda
Embu punguza bana
Nami natulizana
Tupendane kiama
Nami natulizana
Tupendane kiama
Nami natulizana
Tupendane kiama
Nami natulizana
Tupendane kiama
Vichepu chepu vya mjini mafua
Mi vumbi la nini chafya
Kichefuchefu ya nini waje tibua
Unichukie uje niacha
Halafu huku kususa we unajua
Ni utoto ninikua nitaacha
Tukigombana wahi kuniblokua
Ukichelewas puuh! nafwa
Unyagoni ulipochezwa
Hivi somo yako nani
Maana unayo ninogeza
Kwangu ni mageni yani
Namaliza vingereza
Mara ooh i’m coming
Mengine siwezi kueleza
Maana haya hadharani
Halafu sipendi
Unavyo nispoil sana
Vigift gift
Mwenzio unanchanganya
Eti nakosa mimi
Unaniomba wewe msamaha
Huko kunipenda
Embu punguza bana
Nami natulizana
Tupendane kiama
Nami natulizana
Tupendane kiama
Nami natulizana
Tupendane kiama
Nami natulizana
Tupendane kiama